Sunday, December 07, 2014

FREE PRIMARY EDUCATION IN KENYA: NORTH EASTERN COUNTIES





Mnamo mwaka wa Elfu mbili na tatu (2003), Rais mstaafu,Mwai Kibaki, alizindua mpango wa masomo ya bure katika shule za msingi za umma. 

Lakini je, wafahamu kuwa hata baada ya sera hiyo ya serikali, hali katika kaunti ya Garissa, Wajir na Mandera ni tofauti kabisa, kwani katika baadhi ya shule, wazazi ndio hugharimika katika masomo ya watoto wao, ikiwamo mishahara ya walimu; huku walimu walioajiriwa na serikali, wakilipwa mara moja kwa mwaka. Shadrack mitty amerejea kutoka maeneo hayo na hii hapa taarifa yake.